Flash flooding has caused widespread damage in parts of Mtwara Region in southern Tanzania after heavy rain over the last few days.
Mtwara, capital city of Mtwara Region, recorded 478mm of rain in 48 hours to 13 January 2021.
Authorities reported 1 person died after being swept away by flash floods in Mtwara-Mikindani municipality on 12 January.
Many people have moved from their homes to safer areas, including in makeshift shelters in local schools. Authorities are still carrying out damage assessments and exact figures are not yet known. Media report over 400 homes were damaged or destroyed.
On 13 January Tanzania Meteorological Authority warned of further heavy rain in Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Singida, Dodoma, Mbeya, Iringa and Njombe regions.
Social Media
DC Mtwara Dunstan Kyobya amewaomba wanaoishi bondeni na maeneo yaliyoathiriwa na mvua wasogee kwenye Shule za Sekondari/Msingi zilizopo maeneo ya juu kwa msaada zaidi, Mvua hizo zimesababisha athari kwenye Barabara, Stendi, Soko Kuu ambako kumejaa maji na kwenye baadhi ya nyumba. pic.twitter.com/P12dvhR1MJ
— millardayo (@millardayo) January 12, 2021
Moja ya video za Mtwara zinazoonesha athari za Mvua zinazonyesha, leo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limetangaza kifo cha Mtu mmoja, nyumba 55 kuzingirwa na maji na 3 kuangushwa, jana Wananchi wa bondeni waliagizwa kukusanyika kwenye Shule wapewe msaada. #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/ROWX3i5L3g
— millardayo (@millardayo) January 13, 2021
Bwana Ally Ismail Machulila (65) mkazi wa Ruwelu Mikindani Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mkoani Mtwara amefariki dunia baada ya kusombwa na maji ya mafuriko akiwa na pikipiki yake wakati akivuka barabara eneo la Magomeni Matopeni kufuatia mvua kubwa zinazonysha Mkoani Mtwara. pic.twitter.com/F1gw03DHuf
— ITVTanzania (@ITVTANZANIA) January 13, 2021